Tuesday, September 4, 2012

BARABARA ZA JIJI LA ARUSHA ZAANZA KWEKWA LAMI


BARABARA ZA JIJI LA ARUSHA ZAANZA KWEKWA LAMI

Sehemu ya ujenzi wa barabara za jiji la Arusha zikiwekwa lami na kampuni ya ujenzi ya Synohidro kutoka nchini China kama ilivyokutwa na kamera yetu kwenye mtaa wa Pangani kata ya kati PEMBENI NI MAFUNDI WA KAMPUNI HIYO YA UJENZI WAKIENDELEA KUWEKA MITAMBO SAWA
Wakazi wa jiji la Arusha wakiwemo wapita njia wakiangalia uwekaji wa lami kwenye Barabara za mtaa wa Pangani
Ujenzi huo wa miundombinu ya barabara kwenye jiji la Arusha ukiendelea kama inavyoonekana mashine maalum ya kuweka lami ikiendelea na kazi(picha zote na Mahmoud Ahmad Arusha)

No comments:

Post a Comment