Monday, July 7, 2014

MWANA WA MFALME WA JAPAN PRINCE AKISHINO AFURAHIA NGOMA ZA KIMASAI,NA WA BARBAIG

Mwana wa mfalme wa Japan Prince Fumihito Akishino akipewa maelezo  mbalimbali
Mwana huyo wa mfalme wa Japan akipewa maelezo
kuhusu shughuli za uhifadhi ndani ya mamlaka ya Ngorongoro katika kutuo cha habari
cha Loduare Gate,


Mwana wa mfalme wa Japan Prince Fumihito Akishino na mkewe Kiko,
wakifurahia ngoma za makabila la Wadatoga (Barbaig) na ile ya Wamasai,
katika eneo la mlango wa Loduare kwenye hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro,
pamoja nao wapo pia maafisa wa mamlaka hiyo, Bruno Kawasange na Adam Akyoo
pamoja na Mkuu wa wilaya ya Karatu, Felix Daudi Ntibenda. PICHA ZOTE NA MALKIA WA MATUKIO ARUSHA