Saturday, November 24, 2012

Diwani wa Chadema atimkia CCM



Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekuwa diwani wa Chadema kata ya Olasiti viti maalumu mkoa wa Arusha Rehema Mohamed amekikacha chama chake na kurudi katika chama tawala

akiongea mara baada ya kupokelewa ndani ya chama tawala na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwemo Kinana,Nape.,Lowasa,Chatanda,alisema kuwa anazo sababu za msingi ambazo zimemfanya afanye mabadiliko

hatahivyo Malkia wa matukio Arusha amemtafuta rehema na akadai kuwa siku chache atafunguka zaidi kuhusiana na Chadema,

Ingawaje Rehema ni miongoni mwa madiwani walitakiwa kulipa kitita cha fedha baada ya kushindwa kesi iliyokuwa inawakabili ya kunyanganywa Unachama wa Chadema

No comments:

Post a Comment