Monday, June 11, 2012

HAYA NDIO MAISHA NA WANAWAKE WA PEMBEZONI ,HAPA NI IWALANJE MBEYA VIJIJINI




habari kwa hisani ya francis godwin ,mzee wa matukio
Bibi kizee mkazi wa kijiji cha Iwalanje kata ya Ijombe wilaya ya Mbeya vijijini mkoani Mbeya ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja akitoka kusaka kuni leo jumapili kama alivyonaswa kamera ya mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com ,kamera ambayo itaendelea kuimulika kata hiyo kwa takribani wiki moja ,hii yote kwa udhamini wa mtandao wa kijinsia Tanzania (TGNP)

No comments:

Post a Comment