Sunday, December 23, 2012

MBUNGE LEMA ATEKA JIJI LA ARUSHA APOKELEWA NA MAELFU YA WATU


DSCF3646
Pichani ni Mbunge Rasmi wa Jimbo la Arusha mjini Goodblesss Lema,akiongea na wananchi wake rasmi mara baada ya kurudishiwa ubunge rasmi,hapa ni katika viwanja vya stendi ya Kilombero

LEMA WATU ARUSHA
huu ni moja ya msafara wa watu wengi sana waliokuwa wakimuongoza Lema mara baada ya kupokelewa rasmi ndani ya Jiji lake mapema leo
LEMA MNARA WA SAA
Ilikuwa ni ngumu sana kwa Kamanda Lema kuficha hisisa zake hapa Lema alikuwa akikatisha mitaa mbalimbali ya jiji na alionesha furaha kwa mara nyingine
LEMA AKIPUNGIA(1)
Arusha ilifana sana kila mtu alikuwa na furaha,mapokezi ya Kifalme bwana
DSCF3578
Toyo hazikuwa nyuma kama kawa zilipamba njia na kusafisha njia mfalme apite wewe

DSCF3580
kwa kuwa kulikuwa na watu weng sana wengine walilazimika kutumia magari  na miti ili wasipitwe
DSCF3585
Mabango na yenyewe hayakukosekana pamoja na watoto.
DSCF3597
hapa ni viongozi mbalimbali wa Chadema wakitafakari jambo mara baada ya Mh Lema kuwasili katika viwanja vya Kilombero Jijini hapa(picha na Queen Lema,Arusha

No comments:

Post a Comment