
Pichani ni Mbunge Rasmi wa Jimbo la Arusha mjini Goodblesss Lema,akiongea na wananchi wake rasmi mara baada ya kurudishiwa ubunge rasmi,hapa ni katika viwanja vya stendi ya Kilombero

huu ni moja ya msafara wa watu wengi sana waliokuwa wakimuongoza Lema mara baada ya kupokelewa rasmi ndani ya Jiji lake mapema leo

Ilikuwa ni ngumu sana kwa Kamanda Lema kuficha hisisa zake hapa Lema alikuwa akikatisha mitaa mbalimbali ya jiji na alionesha furaha kwa mara nyingine

Arusha ilifana sana kila mtu alikuwa na furaha,mapokezi ya Kifalme bwana

Toyo hazikuwa nyuma kama kawa zilipamba njia na kusafisha njia mfalme apite wewe

kwa kuwa kulikuwa na watu weng sana wengine walilazimika kutumia magari na miti ili wasipitwe

Mabango na yenyewe hayakukosekana pamoja na watoto.

hapa ni viongozi mbalimbali wa Chadema wakitafakari jambo mara baada ya Mh Lema kuwasili katika viwanja vya Kilombero Jijini hapa(picha na Queen Lema,Arusha
No comments:
Post a Comment