Queen Lema Blog

Malkia wa Matukio Jijini Arusha

Friday, April 5, 2013

KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI


MH WAZIRI MKUU APOKEA SHILINGI MILIONI KUMI ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KAMPUNI YA CHICO KUTOKANA NA AJALI YA KUANGUKA KWA JENGO JIJINI DAR ES SALAAM


IMG_0832Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda leo amepokea shilingi milioni kumi kwa ajili ya rambirambi kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la gorofa 16 jijini dar es salaam tarehe 29march 2013 na kusababisha maafa pichani ni Assistant President Chief Representative Tanzania kutoka kampuni ya China Henan International Cooperatin Group Co. Ltd Mr Guo Zhijian akimkabidhi waziri Mkuu hundi ya shilingi milioni kumi kama rambirambi ya kampuni hiyo makabidhiano hayo yamefanyika ofisni kwa waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam Picha na Chris Mfinanga IMG_0836Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na kiongozi wa kampuni hiyo pamoja na maafisa wengine mara baada ya kupoke msaada wa fedha hizo
Posted by Queen Lema at 9:20 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Translate

Blogu Marafiki

  • Wazalendo 25 Blog
    Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe Ufu...
    1 day ago
  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    HUSSEIN GONGA AREJESHA FOMU YA UTIA NIA UBUNGE ARUSHA - Mtia Nia wa Jimbo la Arusha mjini Hussein Gonga arukirudisha fomu ya kugbea ubunge .
    4 days ago
  • ASILI YETU TANZANIA
    -
    7 years ago
  • Queen Lema Blog
    - kushoto ni diwani wa kata ya olorien Bw Zakaria wakati katikati ni mgombea wa udiwani kata ya Murieth Moses mollel akifatiwa na Mbunge wa Arusha Mjini ...
    7 years ago
  • ARUSHA PUBLICITY
    LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5” - Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani...
    9 years ago
  • Northern Shots
    Kamera ya Northern Shots katika Ubora Wake Jijini Arusha - Contact Us : 0718 036 654 or 0755 643 633
    9 years ago

Sikiliza Nyimbo Hapa

Zilizo Somwa Zaidi

  • CHUO CHA UASIBU ARUSHA CHAFANIKISHA MALENGO KWA KUKUSANYA MILIONI 2OO HADI KUFIKIA MILIONI 900
    Na Queen Lema, Arusha CHUO cha Uasibu Arusha kimefanikiwa kuongeza mapato yake kutoka kiasi cha Milioni 200 hadi kufikia milioni 900...
  • WALTER AIBUKA NA MILIONI 50 KATIKA SHINDANO LA EBSS
    WALTER CHILAMBO NDIYE MSHINDI WA EBSS 2012 Mshindi wa shindano la  Epiq Bongo Star Search 2012 (EBSS),Walter Chilambo (Da...
  • MATUKIO YA UKUSANYAJI MAONI YA KATIBA MPYA MKOA KUSINI UNGUJA.
    MATUKIO YA UKUSANYAJI MAONI YA KATIBA MPYA MKOA KUSINI UNGUJA. Mwenyekiti wa Kamati ya Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba mpya Mohd Yuss...
  • JAMBO SQURD WAFANYA KWELI ARUSHA
    WASANII WA KUNDI LA JAMBO SQUARD WASANII maarufu ambao wamefanikiwa kufanya vizuri katika soko la muziki wa kizazai kipya maarufu kama...
  • DKT ASHA MIGIRO KUWA MGENI RASMI BARAZA LA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA
    Na Queen Lema ,Arusha ALIYEKUWA naibu katibu mkuu wa umoja wa mataifa Dkt Asha Rose Migiro anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kuzindua b...
  • WAMILIKI WA SHULE BINAFSI WAKUMBUSHWA KUWAKUMBUKA WATANZANIA KATIKA SUALA ZIMA LA AJIRA
    MWENYEKITI WA UMOJA WA WAMILIKI WA SHULE NA VYUO BINAFSI ARUSHA BI ESTER LEMA AKIWA ANATETA JAMBO NA WADAU WAKE JIJINI HAPA BAADHI YA W...
  • NYIE MNAOTOA MISAADA KAMWE MSIIKUMBUKE
    Mchungaji Mama furaha Simtenda kutoka Tanga amewataka wakristo mbalimbali hapa nchini kuhakikisha kuwa kamwe wanapotoa msaada mbalimbali k...
  • MADIWANI 23 MERU WATISHIA KUJIUZULU NA KUKUSANYA KADI ZA CCM NA WANACHAMA WAKE.
    MBUNGE WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI JOSHUA NASSARI MADIWANI 23 MERU WATISHIA KUJIUZULU NA KUKUSANYA KADI ZA CCM NA WANACHAMA WAKE. ...
  • MERU WAPATA HASARA YA MILIONI 30 KUTOKANA NA WAWEKEZAJI KUKIMBILIA KWENYE MPANGO WA EPZ
    MERU WAPATA HASARA YA MILIONI 30 KUTOKANA NA WAWEKEZAJI KUKIMBILIA KWENYE MPANGO WA EPZ Na Queen Lema,MERU HALMASHAURI ya Meru M...

Labels

  • Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Matukio
  • Michezo
  • Teknolojia

Blog Archive

  • ►  2017 (6)
    • ►  November (6)
  • ►  2014 (35)
    • ►  November (1)
    • ►  July (1)
    • ►  May (6)
    • ►  April (10)
    • ►  March (7)
    • ►  February (1)
    • ►  January (9)
  • ▼  2013 (107)
    • ►  December (16)
    • ►  October (7)
    • ►  September (11)
    • ►  August (3)
    • ►  July (10)
    • ►  May (10)
    • ▼  April (8)
      • TUMIENI KAMUSI HATA MNAPOKUWA MADHABAHUNI-JOKA KUU
      • ASKOFU SIXBERT ATANGAZA KURUDISHA AMANI YA ARUSHA
      • INSERT KWA KUSHIRIKIANA NA JUKWAA LA WAZEE LATARAJ...
      • ASKOFU ALITAKA TAIFA LA TANZANIA KUTOJIBU VITA YA ...
      • KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI
      • ARUSHA INAKABILIWA NA ONGEZEKO KUBWA LA UHITAJI WA...
      • CHUO CHA UFUNDI ARUSHA CHAANZA MKAKATI WA KUFUA MI...
      • ANDIKENI HABARI ZA UCHUNGUZI ZAIDI ACHANENI NA HAB...
    • ►  March (11)
    • ►  February (7)
    • ►  January (24)
  • ►  2012 (257)
    • ►  December (27)
    • ►  November (44)
    • ►  October (35)
    • ►  September (48)
    • ►  August (2)
    • ►  July (21)
    • ►  June (51)
    • ►  May (14)
    • ►  April (5)
    • ►  February (6)
    • ►  January (4)
  • ►  2011 (4)
    • ►  December (4)

About Me

My photo
Queen Lema
View my complete profile

Total Pageviews

Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.