Saturday, May 12, 2012

WENYE HOFU YA MAISHA NA WASIOJIAMINI WATAKIWA KUWA CHINI YA UTAWALA WA MUNGU NA WALA SIO WA SHETANI WAONYWA


,ARUSHA

ASILIMIA kubwa ya watu ambao wanakuwa na hofu ya Maisha na kushindwa kujiamini ni wale watu ambao wapo chini ya utawala wa Shetani huku kwa wale ambao wapo chini ya utawala  wa Mungu wanakuwa majasiri hata wanapopita kwenye mapito ya nguvu za giza.


Hayo yamesemwa Wilayani Meru katika kanisa la E.A.G.T Nkure na Mchungaji Raphael Nanyaro wakati akiongea na Waumini wa kanisa hilo mapema wiki hii

Mchungaji huyo alisema kwa mtu ambaye yupo chni ya utawala wa nguvu za giza mara zote anakuwa na hali ya uoga mkubwa sana wakati kwa ailiye chini ya utawala wa Mungu muda wote anakuwa na imani hata kama anapita katika mapito makubwa sana

Alifafanua kuwa utawala wa nguvu za giza una madhara makubwa sana na kwa mtu yoyote ambaye anaongozwa na utawala huoi anapaswa kujua kuwa mwisho wake uo karibu sana wakati kwa anayekuwa chini ya utawala wa Mungu kila kinachomtokea ni kwa ajili ya mapenzi ya Mungu


Aliongeza kuwa ili utawala huo wa Shetani uweze kukaa vema ni pale unapokuta mkristo anakimbia Neno la Mungu katika Mahubiri yake, Nyimbo za Sifa na hata Nyimbo za Kuabudu kwa kuwa hata naye Shetani analijua vema Neno la Mungu

“ukishakuwa wa kukimbia Neno la mungu basi wewe  ni wa utawala wa shetani na mtu yeyote ambaye  anataka mungu afanye mabadiliko hata ya kiutawala ni lazima matendo na imani na Neno viweze kuambatana kwa pamoja”alisema Mch Raphael


Pia alibainisha kuwa mtu anapokuwa chiuni ya utawala wa milele ambao ni utawala wa mungu basi mtu huyo anaweza kumpinga shetani na kazi zake kwa uraisi sana kwa kuwa silaha zote zimeanishwa vema katika maaandiko matakatifu

Hataivyo alitaja nyenzo mbalimbali za kutumia hasa pale ambapo mtu anapotaka kupigana na utawala wa nguvu za giza ambapo nyenzo hizo ni pamoja na Maombi ya dhamira ya Nafsi, kulijua vema neon la bwana,na pia sifa na kuabudu ambapo ndipo mungu anapotaka

Mchungaji Raphael alisema kuwa hata hizi ni Nyakati za Mwisho kwa hali hiyo ni vema kwa kila mtu kuhakikisha kuwa anatumia vema Nyenzo hizo kila baada ya Dakika ili kuwa na uhakika wa Unyakuo hasa pale ambapo muda utakapofika.


MWISHO


WENYE HOFU YA MAISHA NA WASIOJIAMINI WATAKIWA KUWA CHINI YA UTAWALA WA MUNGU NA WALA SIO WA SHETANI
WAONYWA.

NA BETY ALEX,ARUSHA

ASILIMIA kubwa ya watu ambao wanakuwa na hofu ya Maisha na kushindwa kujiamini ni wale watu ambao wapo chini ya utawala wa Shetani huku kwa wale ambao wapo chini ya utawala  wa Mungu wanakuwa majasiri hata wanapopita kwenye mapito ya nguvu za giza.


Hayo yamesemwa Wilayani Meru katika kanisa la E.A.G.T Nkure na Mchungaji Raphael Nanyaro wakati akiongea na Waumini wa kanisa hilo mapema wiki hii

Mchungaji huyo alisema kwa mtu ambaye yupo chni ya utawala wa nguvu za giza mara zote anakuwa na hali ya uoga mkubwa sana wakati kwa ailiye chini ya utawala wa Mungu muda wote anakuwa na imani hata kama anapita katika mapito makubwa sana

Alifafanua kuwa utawala wa nguvu za giza una madhara makubwa sana na kwa mtu yoyote ambaye anaongozwa na utawala huoi anapaswa kujua kuwa mwisho wake uo karibu sana wakati kwa anayekuwa chini ya utawala wa Mungu kila kinachomtokea ni kwa ajili ya mapenzi ya Mungu


Aliongeza kuwa ili utawala huo wa Shetani uweze kukaa vema ni pale unapokuta mkristo anakimbia Neno la Mungu katika Mahubiri yake, Nyimbo za Sifa na hata Nyimbo za Kuabudu kwa kuwa hata naye Shetani analijua vema Neno la Mungu

“ukishakuwa wa kukimbia Neno la mungu basi wewe  ni wa utawala wa shetani na mtu yeyote ambaye  anataka mungu afanye mabadiliko hata ya kiutawala ni lazima matendo na imani na Neno viweze kuambatana kwa pamoja”alisema Mch Raphael


Pia alibainisha kuwa mtu anapokuwa chiuni ya utawala wa milele ambao ni utawala wa mungu basi mtu huyo anaweza kumpinga shetani na kazi zake kwa uraisi sana kwa kuwa silaha zote zimeanishwa vema katika maaandiko matakatifu

Hataivyo alitaja nyenzo mbalimbali za kutumia hasa pale ambapo mtu anapotaka kupigana na utawala wa nguvu za giza ambapo nyenzo hizo ni pamoja na Maombi ya dhamira ya Nafsi, kulijua vema neon la bwana,na pia sifa na kuabudu ambapo ndipo mungu anapotaka

Mchungaji Raphael alisema kuwa hata hizi ni Nyakati za Mwisho kwa hali hiyo ni vema kwa kila mtu kuhakikisha kuwa anatumia vema Nyenzo hizo kila baada ya Dakika ili kuwa na uhakika wa Unyakuo hasa pale ambapo muda utakapofika.


MWISHO
CHANZO CHA HABARI NA QUEEN LEMA

0758907891

ARUSHA

No comments:

Post a Comment