Thursday, May 29, 2014

SERIKALI YAOMBWA KUWAPATIA BIMA WATOTO

 NA JAMES STANLEY ARUSHA
SERIKALI  imeombwa kuwapatia Bima ya Afya watoto
wanolelewa katika kituo cha kulelea watoto  yatima
cha Samartan Villege,kilichoko Moshono,Mkoa ni Aru
sha.
   Mratibu wa kituo hicho,   Father Josephat Mumany,
akizungumza hivi karibuni wakati wakutoa taarifa fupi
yakituo hicho bkwa viongozi   na wanachama wa kiku
ndu cha uamsho cha Oldadai,waliotembelea kituo hich
o kwa ajili ya kutoa misaada mbalimbali,Alisema   bima
hizo zitwapunguzia adha watoto hao wanapougua.
   Alisema kutokana na watoto hao kutokuwa na Bima
ya Afya,hali hiyo imekuwa ikiupa shida kubwa viongozi
wa kituo hicho,pale unapopataka kuwapeleka  watoto
hao hospitalini.

  Father Mmanyi,alisema hiyo ni changamoto    kubwa
kwao,kutokana na kituo kukabiliwa na  uhabawafedha,
hali amabayo pia huwafanya watotowanaougua kukaa
na maradhi yao kwa muda mrefu pasipo kupata  matib
abu.
  Katika hatua nyingine  Mmanyi alisema watoto wanao
lelewa katika kituo hicho wanapelekwa na serikali baada
ya kuokotwa mitaani,kutokana na kutupwa na    wazazi
wao baada ya kujifungua.
  ''Watoto hawa wanaokotwa katika mazingira  magumu 
wengine wanavunjwa miguu na wazazi wao,    wengine
wanakutwa wametoboleatobolewa na wazazi wao kabla
ya kuwatupa,Inasikitisha sana unapoona mazingira amba
yo watoto hawa walikotoka.''Alisema
   Pamoja na serikali,aliitaka jamii na mashitika mbalimbali
ya kitaifa na kimataifa,kukisaidia kituo hicho kwa hali  na
mali,ili kiweze kumudu malezi ya watoto hao.Hivi sasa.ali
sema wana miradi waliyopewa na wahisani inayowasaidia
katika mambo madogomadogo.Nayo ni pamoja na bwawa
la samaki,shamba la mahindi,pamoja na migomba.
  Mweka Hazina wa kikundi cha Uamsho,kilichowatembele
a watoto hao,Be Marry Mayagila,Alisema wanaguswa  na
amahitaji ya watoto hao na kwamba kwa kuwa wao ni w
anawake wenye moyo wa huruma,ndiyo maana wameme
amua kuwatembea na kuwapatia misaada ya vyakula.

   Alitoa wito kwa wanawake,na vikundi mbalimbali kuwa
hurumia watoto hao kwa kuwapa misaada      mbalimbali
kwani hawawajui wazzi wao,ili nao wajione swa na wato
to wengine

No comments:

Post a Comment