Queen Lema Blog

Malkia wa Matukio Jijini Arusha

Friday, April 5, 2013

KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI


MH WAZIRI MKUU APOKEA SHILINGI MILIONI KUMI ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KAMPUNI YA CHICO KUTOKANA NA AJALI YA KUANGUKA KWA JENGO JIJINI DAR ES SALAAM


IMG_0832Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda leo amepokea shilingi milioni kumi kwa ajili ya rambirambi kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la gorofa 16 jijini dar es salaam tarehe 29march 2013 na kusababisha maafa pichani ni Assistant President Chief Representative Tanzania kutoka kampuni ya China Henan International Cooperatin Group Co. Ltd Mr Guo Zhijian akimkabidhi waziri Mkuu hundi ya shilingi milioni kumi kama rambirambi ya kampuni hiyo makabidhiano hayo yamefanyika ofisni kwa waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam Picha na Chris Mfinanga IMG_0836Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na kiongozi wa kampuni hiyo pamoja na maafisa wengine mara baada ya kupoke msaada wa fedha hizo
Posted by Queen Lema at 9:20 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Translate

Blogu Marafiki

  • Wazalendo 25 Blog
    Tuzo : Rais Mwinyi Apokea Tuzo - Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa taasisi na wadau wa sekta ya utalii kuongeza ushiri...
    16 hours ago
  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    Miaka 64 ya Uhuru: TBN Yasema “Amani Kwanza, Ujenzi wa Taifa Daima - Leo Desemba 9, tunapoadhimisha miaka 64 tangu Taifa letu lipate Uhuru, Tanzania Bloggers Network (TBN) inawapongeza Watanzania wote kwa kufikia hatua hi...
    3 days ago
  • ASILI YETU TANZANIA
    -
    7 years ago
  • Queen Lema Blog
    - kushoto ni diwani wa kata ya olorien Bw Zakaria wakati katikati ni mgombea wa udiwani kata ya Murieth Moses mollel akifatiwa na Mbunge wa Arusha Mjini ...
    8 years ago
  • ARUSHA PUBLICITY
    LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5” - Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani...
    10 years ago
  • Northern Shots
    Kamera ya Northern Shots katika Ubora Wake Jijini Arusha - Contact Us : 0718 036 654 or 0755 643 633
    10 years ago

Sikiliza Nyimbo Hapa

Zilizo Somwa Zaidi

  • WASIOTUMIA ARDHI MERU KUNYANGANYWA NA KUPEWA WATU WENYE UHITAJI-MKUU WA WILAYA
    WASIOTUMIA ARDHI MERU KUNYANGANYWA NA KUPEWA WATU WENYE UHITAJI-MKUU WA WILAYA Na Queen Lema, Meru WILAYA    ya Meru inatarajia...
  • MWEKEZAJI MERU AVAMIWA
    ZAIDI ya wananchi 200 kutoka katika Kijiji cha Karangai Kata ya Mbuguni Wilyani Meru Mkoani Arusha wamevamia shamba la Mwekezaji wa kampun...
  • SHULE ZA SEKONDARI AMBAZO ZINA MAABARA KUPEWA HUDUMA YA INTERNET BURE
    Na Queen Lema, Arusha KAMPUNI ya Smile ya mawasiliano ya Smile imeweka mikakati ya kusaidia shule za Serikali ambazo zina maabara kwa k...
  • UKOSEFU WA VYOO WASABABISHA WANAFUNZI ZAIDI YA 300 KUJISAIDIA VICHAKANI
    UKOSEFU WA VYOO WASABABISHA WANAFUNZI ZAIDI YA 300 KUJISAIDIA VICHAKANI ZAIDI ya wanafunzi 300 kutoka katika shule ya msingi Engatani i...
  • UJIO WA HELKOPTA YA CHADEMA ARUSHA WAZUA BALAA KWA CCM
    Na Mwandishi wetu, Arusha Chama cha mapinduzi (CCM)kimesema kuwa kinashangazwa na kitendo cha chama cha demokrasia na maendeleo...
  • VIONGOZI WA DINI 2000 KUTOKA NCHI TANO KUTAFAKARI NA KUOMBEA CHANGAMOTO ZA TANZANIA
    ASKOFU WA KANISA LA INTERATIONAL EVANGELISM CENTRE, ELIUD ISSAGYA ZAIDI ya viongozi 2000 wa makanisa ya Intenational Evangelism ku...
  • DKT BILALI AVITAKA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI KUFIKIRIA ZAIDI AJIRA KWA WAHITIMU WAO
    MAKAMU WA RAISI WA TANZANIA DKT GHARIB BILALI AKISISITIZA JAMBO KWA WADAU WA MKOA WA ARUSHA HIVI KARIBUNI Na Queen Lema,ARUSHA  MA...
  • MSIWAACHIE WATOTO UHURU WA UTANDAWAZI NDIO CHANZO CHA KUFELI
    Na gadness, Arusha IMEELEZWA kuwa tabia ya wazazi kuwaachia watoto uhuru wa utandawazi hasa simu za mikononi kwa muda mrefu ndio chanz...
  • UROHO, UPENDELEO WA UTOAJI WA MISAADA KUTOKA KWA WAFADHILI CHANZO KIKUBWA CHA WAFADHILI KUTOKOMEA GIZANI
    NaBety Alex, Arusha IMEELEZWA kuwa Tabia ya uroho na upendeleo unaofanywa na baadhi ya Viongozi wa Dini, Serikali na Jamii kwa ujumla k...

Labels

  • Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Matukio
  • Michezo
  • Teknolojia

Blog Archive

  • ►  2017 (6)
    • ►  November (6)
  • ►  2014 (35)
    • ►  November (1)
    • ►  July (1)
    • ►  May (6)
    • ►  April (10)
    • ►  March (7)
    • ►  February (1)
    • ►  January (9)
  • ▼  2013 (107)
    • ►  December (16)
    • ►  October (7)
    • ►  September (11)
    • ►  August (3)
    • ►  July (10)
    • ►  May (10)
    • ▼  April (8)
      • TUMIENI KAMUSI HATA MNAPOKUWA MADHABAHUNI-JOKA KUU
      • ASKOFU SIXBERT ATANGAZA KURUDISHA AMANI YA ARUSHA
      • INSERT KWA KUSHIRIKIANA NA JUKWAA LA WAZEE LATARAJ...
      • ASKOFU ALITAKA TAIFA LA TANZANIA KUTOJIBU VITA YA ...
      • KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI
      • ARUSHA INAKABILIWA NA ONGEZEKO KUBWA LA UHITAJI WA...
      • CHUO CHA UFUNDI ARUSHA CHAANZA MKAKATI WA KUFUA MI...
      • ANDIKENI HABARI ZA UCHUNGUZI ZAIDI ACHANENI NA HAB...
    • ►  March (11)
    • ►  February (7)
    • ►  January (24)
  • ►  2012 (257)
    • ►  December (27)
    • ►  November (44)
    • ►  October (35)
    • ►  September (48)
    • ►  August (2)
    • ►  July (21)
    • ►  June (51)
    • ►  May (14)
    • ►  April (5)
    • ►  February (6)
    • ►  January (4)
  • ►  2011 (4)
    • ►  December (4)

About Me

My photo
Queen Lema
View my complete profile

Total Pageviews

Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.