Queen Lema Blog

Malkia wa Matukio Jijini Arusha

Friday, April 5, 2013

KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI


MH WAZIRI MKUU APOKEA SHILINGI MILIONI KUMI ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KAMPUNI YA CHICO KUTOKANA NA AJALI YA KUANGUKA KWA JENGO JIJINI DAR ES SALAAM


IMG_0832Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda leo amepokea shilingi milioni kumi kwa ajili ya rambirambi kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la gorofa 16 jijini dar es salaam tarehe 29march 2013 na kusababisha maafa pichani ni Assistant President Chief Representative Tanzania kutoka kampuni ya China Henan International Cooperatin Group Co. Ltd Mr Guo Zhijian akimkabidhi waziri Mkuu hundi ya shilingi milioni kumi kama rambirambi ya kampuni hiyo makabidhiano hayo yamefanyika ofisni kwa waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam Picha na Chris Mfinanga IMG_0836Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na kiongozi wa kampuni hiyo pamoja na maafisa wengine mara baada ya kupoke msaada wa fedha hizo
Posted by Queen Lema at 9:20 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Translate

Blogu Marafiki

  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    CRIO INTERNATIONAL BIBLE COLLEGE YATOA FURSA YA MAFUNZO YA BIBLIA KWA WATUMISHI - Mkurugenzi wa CRIO International Bible College, *Dr. Willy K. Ackyoo*, amewakaribisha watumishi wa Mungu na wananchi wote wenye nia ya kujifunza Neno ...
    2 days ago
  • Wazalendo 25 Blog
    NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57 - - Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba za kifedha, ikiwemo Benki...
    2 weeks ago
  • ASILI YETU TANZANIA
    -
    8 years ago
  • Queen Lema Blog
    - kushoto ni diwani wa kata ya olorien Bw Zakaria wakati katikati ni mgombea wa udiwani kata ya Murieth Moses mollel akifatiwa na Mbunge wa Arusha Mjini ...
    8 years ago
  • ARUSHA PUBLICITY
    LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5” - Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani...
    10 years ago
  • Northern Shots
    Kamera ya Northern Shots katika Ubora Wake Jijini Arusha - Contact Us : 0718 036 654 or 0755 643 633
    11 years ago

Sikiliza Nyimbo Hapa

Zilizo Somwa Zaidi

  • jamii yatakiwa kuwakumbuka wajane
    Jamii kwa kushirikiana na viongozi mbali mbali wameombwa kujitoa kwa hali na mali  kumsaidia mjane aliyeunguliwa na nyumba yake katika ki...
  • (no title)
    VIJANA 50 WAPEWA ELIMU YA KUTAMBUA SERA NA FURSA KWENYE JAMII na mwandishi wetu, Arusha VIJANA zaidi ya 50 ku...
  • NYUMBA ZAIDI YA 300 ZILIZOBOLEWA ARUSHA ZALETA DALILI YA WAWEKEZAJI WA KIMATAIFA
    NYUMBA ZAIDI YA 300 ZILIZOBOLEWA ARUSHA ZALETA DALILI YA WAWEKEZAJI WA KIMATAIFA Arusha JIJI la Arusha limefanikiwa kuvunja nyum...
  • TUMIENI FURSA IPASAVYO
     NA MWANDISHI WETU MANYARA JAMII nchini imeaswa kutumia ipasavyo fursa zilizopo na zinazotolewa na Serikali au mashirika mengine ya ...
  • MKUU WA WILAYA AKERWA NA WANAOLALAMIKA OVYO JUU YA UTENDAJI WA SHUGULIZA MAZINGIRA ARUSHA
    MKUU WA WILAYA AKERWA NA WANAOLALAMIKA OVYO JUU YA UTENDAJI WA SHUGULIZA MAZINGIRA ARUSHA MKUU wa Wilaya ya Arusha bw John Mwongela amewat...
  • SHULE YATOA UFADHILI WA MILIONI 90 KWA WANAFUNZI 90 KWA KILA MWAKA
    SHULE YATOA UFADHILI WA MILIONI 90 KWA WANAFUNZI 90 KWA KILA MWAKA SHULE ya Sekondari Edmund iliopo Sinon Mjini Arusha imeteng...
  • MANYARA WAPEWA CHANGAMOTO YA MABWENI
    ILI kupambana na changamoto za elimu kwa watoto wa kike Mkoani Manyara, imeelezwa suluhisho ni kuwajengea mabweni ya kulala kwani hivi sasa ...
  • ASANTE SANA WADAU BADO NAWAHITAJI SANA TENA KWA SANA
    mambooooooo wadau wangu wote napenda kuwashukuru wale wote ambao kila mara tunawasiliana na kusahishana kuhusiana na masuala ya matukio mba...
  • WAOMBA KUPANDISHIWA HADHI ZAHANATI ALIYOZINDUA MAMA NYERERE MWAKA 1964
    WAOMBA KUPANDISHIWA HADHI ZAHANATI ALIYOZINDUA MAMA NYERERE MWAKA 1964 Na Queen Lema,MERU SERIKALI imeombwa kupandisha hadhi zah...

Labels

  • Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Matukio
  • Michezo
  • Teknolojia

Blog Archive

  • ►  2017 (6)
    • ►  November (6)
  • ►  2014 (35)
    • ►  November (1)
    • ►  July (1)
    • ►  May (6)
    • ►  April (10)
    • ►  March (7)
    • ►  February (1)
    • ►  January (9)
  • ▼  2013 (107)
    • ►  December (16)
    • ►  October (7)
    • ►  September (11)
    • ►  August (3)
    • ►  July (10)
    • ►  May (10)
    • ▼  April (8)
      • TUMIENI KAMUSI HATA MNAPOKUWA MADHABAHUNI-JOKA KUU
      • ASKOFU SIXBERT ATANGAZA KURUDISHA AMANI YA ARUSHA
      • INSERT KWA KUSHIRIKIANA NA JUKWAA LA WAZEE LATARAJ...
      • ASKOFU ALITAKA TAIFA LA TANZANIA KUTOJIBU VITA YA ...
      • KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI
      • ARUSHA INAKABILIWA NA ONGEZEKO KUBWA LA UHITAJI WA...
      • CHUO CHA UFUNDI ARUSHA CHAANZA MKAKATI WA KUFUA MI...
      • ANDIKENI HABARI ZA UCHUNGUZI ZAIDI ACHANENI NA HAB...
    • ►  March (11)
    • ►  February (7)
    • ►  January (24)
  • ►  2012 (257)
    • ►  December (27)
    • ►  November (44)
    • ►  October (35)
    • ►  September (48)
    • ►  August (2)
    • ►  July (21)
    • ►  June (51)
    • ►  May (14)
    • ►  April (5)
    • ►  February (6)
    • ►  January (4)
  • ►  2011 (4)
    • ►  December (4)

About Me

My photo
Queen Lema
View my complete profile

Total Pageviews

Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.