Queen Lema Blog

Malkia wa Matukio Jijini Arusha

Friday, April 5, 2013

KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI


MH WAZIRI MKUU APOKEA SHILINGI MILIONI KUMI ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KAMPUNI YA CHICO KUTOKANA NA AJALI YA KUANGUKA KWA JENGO JIJINI DAR ES SALAAM


IMG_0832Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda leo amepokea shilingi milioni kumi kwa ajili ya rambirambi kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la gorofa 16 jijini dar es salaam tarehe 29march 2013 na kusababisha maafa pichani ni Assistant President Chief Representative Tanzania kutoka kampuni ya China Henan International Cooperatin Group Co. Ltd Mr Guo Zhijian akimkabidhi waziri Mkuu hundi ya shilingi milioni kumi kama rambirambi ya kampuni hiyo makabidhiano hayo yamefanyika ofisni kwa waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam Picha na Chris Mfinanga IMG_0836Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na kiongozi wa kampuni hiyo pamoja na maafisa wengine mara baada ya kupoke msaada wa fedha hizo
Posted by Queen Lema at 9:20 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Translate

Blogu Marafiki

  • Wazalendo 25 Blog
    Kimataifa : Museveni na Kikwete Wakutana Kampala Kujadili Amani Sudan Kusini - RAIS wa Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afri...
    1 day ago
  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    WATENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI WAPATIWA MAFUNZO ARUSHA KUIMARISHA UWEZO WAO - baadhi ya watengeneza maudhui (content creators) mtandaoni wakiendelea kufatilia mada mbalimbali katika mafunzo ya awamu ya kwanza kwa ajili yao yana...
    2 days ago
  • ASILI YETU TANZANIA
    -
    7 years ago
  • Queen Lema Blog
    - kushoto ni diwani wa kata ya olorien Bw Zakaria wakati katikati ni mgombea wa udiwani kata ya Murieth Moses mollel akifatiwa na Mbunge wa Arusha Mjini ...
    8 years ago
  • ARUSHA PUBLICITY
    LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5” - Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani...
    10 years ago
  • Northern Shots
    Kamera ya Northern Shots katika Ubora Wake Jijini Arusha - Contact Us : 0718 036 654 or 0755 643 633
    10 years ago

Sikiliza Nyimbo Hapa

Zilizo Somwa Zaidi

  • KATA ZA WILAYA YA KARATU ZATAKIWA KUANZISHA MIRADI ILI KUONGEZA UCHUMI KUANZIA NGAZI YA KAYA
    Na Queen Lema, KARATU CHAMA cha mapinduzi Wilaya ya Karatu mkoa wa Arusha kimeagiza uongozi wa kata zote ndani ya Wilaya hiyo kuhakiki...
  • WAFANYAKAZI WA EXIM WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 27 JELA KWA KOSA LA UTAKATISHAJI NA UHARIBIFU WA NYARAKA
    WAFANYAKAZI wa Benki Ya exim waliokuwa wanakabiliwa na makosa 318 ikiwa ni pamoja na kugushi,kuharibu nyaraka,na utakatishaji fedha haram...
  • KANISA LATANGAZA NEEMA KWA WAHUDMU,WAHADIWA KUPEWA MASAMBA YA KILIMO KWA AJILI YA MSIMU MPYA WA KILIMO UJAO
    NA BETY ALEX, ARUSHA HUDUMA ya Maisha ya Yesu iliopo maeneo ya Kisongo jijini Arusha imesema kuwa kwa kutambua mchango wa wahudumu ...
  • (no title)
    Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi mkoani Arusha limeunga mkono juhudi za Umoja wa Boda Boda Jiji la Arusha (U...
  • HALMASHARI YAURARUSHA VIJIJINI WAFANIKIWA KUKUSANYA MILIONI 682 KUTOKA KATIKA VYANZO VYAKE VYA MAPATO
    Wilaya ya Arusha Vijijini imefanikiwa kukusanya kiasi cha Milioni 682 sawa na asilimia 31.8 kutoka katika vyanzo vyake vya mapato ingawaje...
  • (no title)
    NABII MALISA AWATAKA WAKRISTO KUTOA MAFUNGU YA KUMI, KUWA NA IMANI ILI KUONDOKANA NA UMASKINI IMEELEZWA kuwa asilimia kubwa ya watu ambao n...
  • GAZETI LA MTANZANIA LAFUNGIWA KWA SIKU 90 MWANANCHI SIKU 14
    SERIKALI kupitia Idara ya Habari (MAELEZO) imelifungia Gazeti la MTANZANIA kwa muda wa siku 90 kupitia Tangazo la Serikali namba 332 la ta...

Labels

  • Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Matukio
  • Michezo
  • Teknolojia

Blog Archive

  • ►  2017 (6)
    • ►  November (6)
  • ►  2014 (35)
    • ►  November (1)
    • ►  July (1)
    • ►  May (6)
    • ►  April (10)
    • ►  March (7)
    • ►  February (1)
    • ►  January (9)
  • ▼  2013 (107)
    • ►  December (16)
    • ►  October (7)
    • ►  September (11)
    • ►  August (3)
    • ►  July (10)
    • ►  May (10)
    • ▼  April (8)
      • TUMIENI KAMUSI HATA MNAPOKUWA MADHABAHUNI-JOKA KUU
      • ASKOFU SIXBERT ATANGAZA KURUDISHA AMANI YA ARUSHA
      • INSERT KWA KUSHIRIKIANA NA JUKWAA LA WAZEE LATARAJ...
      • ASKOFU ALITAKA TAIFA LA TANZANIA KUTOJIBU VITA YA ...
      • KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI
      • ARUSHA INAKABILIWA NA ONGEZEKO KUBWA LA UHITAJI WA...
      • CHUO CHA UFUNDI ARUSHA CHAANZA MKAKATI WA KUFUA MI...
      • ANDIKENI HABARI ZA UCHUNGUZI ZAIDI ACHANENI NA HAB...
    • ►  March (11)
    • ►  February (7)
    • ►  January (24)
  • ►  2012 (257)
    • ►  December (27)
    • ►  November (44)
    • ►  October (35)
    • ►  September (48)
    • ►  August (2)
    • ►  July (21)
    • ►  June (51)
    • ►  May (14)
    • ►  April (5)
    • ►  February (6)
    • ►  January (4)
  • ►  2011 (4)
    • ►  December (4)

About Me

My photo
Queen Lema
View my complete profile

Total Pageviews

Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.