Queen Lema Blog

Malkia wa Matukio Jijini Arusha

Friday, April 5, 2013

KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI


MH WAZIRI MKUU APOKEA SHILINGI MILIONI KUMI ZA RAMBIRAMBI KUTOKA KAMPUNI YA CHICO KUTOKANA NA AJALI YA KUANGUKA KWA JENGO JIJINI DAR ES SALAAM


IMG_0832Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda leo amepokea shilingi milioni kumi kwa ajili ya rambirambi kutokana na ajali ya kuanguka kwa jengo la gorofa 16 jijini dar es salaam tarehe 29march 2013 na kusababisha maafa pichani ni Assistant President Chief Representative Tanzania kutoka kampuni ya China Henan International Cooperatin Group Co. Ltd Mr Guo Zhijian akimkabidhi waziri Mkuu hundi ya shilingi milioni kumi kama rambirambi ya kampuni hiyo makabidhiano hayo yamefanyika ofisni kwa waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam Picha na Chris Mfinanga IMG_0836Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na kiongozi wa kampuni hiyo pamoja na maafisa wengine mara baada ya kupoke msaada wa fedha hizo
Posted by Queen Lema at 9:20 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Translate

Blogu Marafiki

  • LIBENEKE LA KASKAZINI
    KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE APONGEZA UWEKEZAJI WA HANNY G, ASEMA UNAENDELEA KUCHOCHEA MATUMIZI YA NISHATI SAFI - Na Woinde Shizza, Arusha KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Michael Mwang'onda, amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira rafiki ya u...
    7 hours ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Biashara : Ecobank Tanzania Yatoa Elimu ya Huduma za Kifedha Maonesho ya Sabasaba - Ecobank Tanzania imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma mbalimbali za kifedha kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Bi...
    1 day ago
  • ASILI YETU TANZANIA
    -
    8 years ago
  • Queen Lema Blog
    - kushoto ni diwani wa kata ya olorien Bw Zakaria wakati katikati ni mgombea wa udiwani kata ya Murieth Moses mollel akifatiwa na Mbunge wa Arusha Mjini ...
    8 years ago
  • ARUSHA PUBLICITY
    LAFARGE TANZANIA YAZINDUA SARUJI MPYA “TEMBO SUPASET 42.5” - Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa Lafarge Tanzania, Allan Chonjo (wa kwanza kulia) akizungumza machache mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani...
    10 years ago
  • Northern Shots
    Kamera ya Northern Shots katika Ubora Wake Jijini Arusha - Contact Us : 0718 036 654 or 0755 643 633
    10 years ago

Sikiliza Nyimbo Hapa

Zilizo Somwa Zaidi

  • Mkutano wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi ya Kusini mwa Afrika (SADC TROIKA)
    Mkutano wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi ya Kusini mwa Afrika (SADC TROIKA) ...
  • Askofu Malasusa: Wanasiasa Msiteke Nyara Mchakato Wa Katiba
      Pamela Chilongola na Bakari Kiango. WANASIASA nchini, wametakiwa kuacha kujihusishana suala la katiba na badala yake, suala hilo...
  • WAZAZI WAUKATAA UONGOZI WA SHULE YA MWANDETI
    Joseph Ngilisho,Arumeru.   WAZAZI katika shule ya msingi ya Mwandeti iliyopo wilayani Arumeru,mkoani Arusha,wameukataa uongozi wa...
  • NMB YAAHIDI KUWASAIDIA WAKULIMA WADOGO WADOGO
    BI VICKY AMBAYE NI MENEJA WA BENKI YA NMB KWA KANDA YA KASKAZINI AKIPOKEA CHETI KAMA ISHARA YA USHINDI KATIKA MAONESHO YA NANENA NE AMBAPO M...
  • `WIVU WA KIMAPENZI WASABABISHA MWALIMU KUMWAGIWA MAJI YA MOTO MITHILI YA KUKU
    PICHANI NI MWALIMU NEEMA AKIWA AMELALA KWENYE CHUMBA CHA MAJERUI KWENYE HOSPITALI YA MKOA WA ARUSHA MT MERU,PICHA NA QUEEN LEMA MWALIMU...
  • UKOSEFU WA MIUNDO MBINU IMARA KWA AJILI YA WALEMAVU NDANI YA MAKANISA NA MISIKITI CHANZO CHA WALEMAVU KUSHINDWA KUHUDHURIA NYUMBA ZA IBADA
    UKOSEFU WA MIUNDO MBINU IMARA KWA AJILI YA WALEMAVU   NDANI YA MAKANISA NA MISIKITI CHANZO CHA WALEMAVU KUSHINDWA KUHUDHURIA NYUMBA ZA ...
  • MADEREVA TOYO SEKEI WAPEWA MBINU ZA KUKABILIANA NA AJALI ZA BARABARANI
    HAPA NI Mkuu wa polisi wilaya ya Arusha Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Gilles Muroto akiongea na madereva wa pikipiki maarufu kama Bodaboda...
  • UTPC YATOA MSAADA APC
    Na Gladness mushi, arusha MUUNGANO wa Vyama vya Waandishi wa Habari nchini (UTPC) uimeikabidhi Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Arus...
  • wanafunzi kimnyaki waandamana kutoka shuleni kwa madai ya kumkataa mwalimu mkuu
    wanafunzi wa kimnyaki wiki hii wameandamana hadi ofisi ya mkuu wa mkoa wa arusha wakidai kuwa wakimkataa mwalimu mkuu wa shule,pichani ni ...

Labels

  • Afya
  • Habari
  • Jamii
  • Matukio
  • Michezo
  • Teknolojia

Blog Archive

  • ►  2017 (6)
    • ►  November (6)
  • ►  2014 (35)
    • ►  November (1)
    • ►  July (1)
    • ►  May (6)
    • ►  April (10)
    • ►  March (7)
    • ►  February (1)
    • ►  January (9)
  • ▼  2013 (107)
    • ►  December (16)
    • ►  October (7)
    • ►  September (11)
    • ►  August (3)
    • ►  July (10)
    • ►  May (10)
    • ▼  April (8)
      • TUMIENI KAMUSI HATA MNAPOKUWA MADHABAHUNI-JOKA KUU
      • ASKOFU SIXBERT ATANGAZA KURUDISHA AMANI YA ARUSHA
      • INSERT KWA KUSHIRIKIANA NA JUKWAA LA WAZEE LATARAJ...
      • ASKOFU ALITAKA TAIFA LA TANZANIA KUTOJIBU VITA YA ...
      • KAMPUNI YA CHICO YATOA RAMBIRAMBI
      • ARUSHA INAKABILIWA NA ONGEZEKO KUBWA LA UHITAJI WA...
      • CHUO CHA UFUNDI ARUSHA CHAANZA MKAKATI WA KUFUA MI...
      • ANDIKENI HABARI ZA UCHUNGUZI ZAIDI ACHANENI NA HAB...
    • ►  March (11)
    • ►  February (7)
    • ►  January (24)
  • ►  2012 (257)
    • ►  December (27)
    • ►  November (44)
    • ►  October (35)
    • ►  September (48)
    • ►  August (2)
    • ►  July (21)
    • ►  June (51)
    • ►  May (14)
    • ►  April (5)
    • ►  February (6)
    • ►  January (4)
  • ►  2011 (4)
    • ►  December (4)

About Me

My photo
Queen Lema
View my complete profile

Total Pageviews

Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.